Baba yetu uliye mbinguni
Jina lako litukuzwe
Ufalme wako ufike
Utakalo lifanyike duniani kama mbinguni
Utupe leo mkate wetu wa kila siku
Utusamehe makosa yetu
kama tunavyowasamehe na sisi waliotukosea
Usitutie katika kishawishi
lakini utuokoe maovuni.
Amina.